Tuesday, July 4, 2017

BEI YA MCHELE YABAKI PALE PALE KWENYE MASOKO.

Bei ya mchele imeonekana kutoshuka sokoni kulinganisha na mazao mengine. Mwezi wa sita tarehe 23 kwa soko la Buguruni (Ilala, Dar Es Salaam) gunia la 100kg lilikuwa linauzwa kati ya shilingi
180,000 hadi 230,000 ambapo kwa toleo la mwezi wa sita tarehe 30 inaonekana bado ikiwa bei hiyo hiyo.
Pia kwa mazao mengine yanaonekana kubaki katika bei ile ile kwa kipindi hiki.
Kupata bei zaidi za mazao kwa sokoni kama ilivyoyolewa na wizara ya viwanda,biashara na uwekezaji.
Fungua hii link hapa chini upate kuona bei za mazao sokoni.
http://www.mit.go.tz/uploads/files/Copy%20of%20Wholesale%20prices%20Report_30%20_%20June,%202017.xls

No comments:

Post a Comment

HABARI NJEMA KWA WAKULIMA, NAFAKA BADO YASHIKILIA PALE PALE.

Hali ya soko masokoni katika masoko makuu ya mikoani hapa nchi bado iko vizuri, ambapo mazao hayajapanda wala kushuka kulinganisha na wiki i...