Huku gunia la 100kg la mahindi likibaki kwa bei ile ile ya 50,780tsh kwa bei ya chini na bei ya juu ni 54,690tsh.
Bonyeza linki hapa chini uweze kupakuwa jedwali hili la bei elekezi ya nafaka katika masoko hapa nchini.
Hali ya soko masokoni katika masoko makuu ya mikoani hapa nchi bado iko vizuri, ambapo mazao hayajapanda wala kushuka kulinganisha na wiki i...
No comments:
Post a Comment