Hali ya soko masokoni katika masoko makuu ya mikoani hapa nchi bado iko vizuri, ambapo mazao hayajapanda wala kushuka kulinganisha na wiki iliyopita. Gunia la mchele la kilo 100 kwa soko la mkoani Morogoro (Mawenzi) limebaki kuwa 180,000tsh kwa bei ya chini na 180,000tsh kwa bei ya juu. Bonyeza hapa kupakua taarifa ya tarehe 10/07/2017 kuona bei ya nafaka ilivyokuwa sokoni.
KILIMO FAIDA
Mafanikio hayaji kwa kukaa bali huja kwa juhudi binafsi.
Monday, July 24, 2017
Wednesday, July 12, 2017
BEI ZA MAZAO SOKONI ZASHUKA.
Mazao mbali mbali sokoni yameshuka bei kwa sasa kulinganisha na mwezi wa sita. Hii hutokana na mavuno kuwa mengi na kusababisha kushuka bei kwa mazao kama vile mahindi, mchele, viazi mviringo na mazao mengine katika masoko hapa nchini.
KILIMO CHA PILIPILI HOHO.
Kilimo Bora Cha Pilipili Hoho Na Faida Zake.
Utangulizi.
Pilipili hoho ni moja ya mazao ya viungo ambalo hulimwa kwa wingi Mikoa ya Arusha, Kilimanjaro, Tanga, Morogoro, Mbeya na Iringa.
Zao hili hutumika kama kiungo kwenye vyakula mbalimbali kama vile vyama, viazi na ndizi. Vilevile hutumika katika kutengeneza kachumbari na kuweza kukaushwa na kusagwa ili kupata unga.
Viini lishe vinavyopatikana katika pilipili tamu au hoho ni
Utangulizi.
Pilipili hoho ni moja ya mazao ya viungo ambalo hulimwa kwa wingi Mikoa ya Arusha, Kilimanjaro, Tanga, Morogoro, Mbeya na Iringa.
Zao hili hutumika kama kiungo kwenye vyakula mbalimbali kama vile vyama, viazi na ndizi. Vilevile hutumika katika kutengeneza kachumbari na kuweza kukaushwa na kusagwa ili kupata unga.
Viini lishe vinavyopatikana katika pilipili tamu au hoho ni
KILIMO CHA TANGAWIZI.
KILIMO CHA TANGAWIZI.
Utangulizi.
Tangawizi ni aina ya zao la kiungo ambalo sehemu inayotumika ni tunguu (rhizome) ambalo huonekana kama mizizi ya mmea. Asili ya zao hili ni maeneo ya kitropiki ya bara la Asia na hasa katika nchi za India na China.
Zao hili linazalishwa kwa wingi kutoka katika nchi
Utangulizi.
Tangawizi ni aina ya zao la kiungo ambalo sehemu inayotumika ni tunguu (rhizome) ambalo huonekana kama mizizi ya mmea. Asili ya zao hili ni maeneo ya kitropiki ya bara la Asia na hasa katika nchi za India na China.
Zao hili linazalishwa kwa wingi kutoka katika nchi
Subscribe to:
Posts (Atom)
HABARI NJEMA KWA WAKULIMA, NAFAKA BADO YASHIKILIA PALE PALE.
Hali ya soko masokoni katika masoko makuu ya mikoani hapa nchi bado iko vizuri, ambapo mazao hayajapanda wala kushuka kulinganisha na wiki i...
-
USINDIKAJI WA PILIPILI KALI Aina nyingi za pilipili kali (Chillies) hulimwa katika maeneo madogo katika sehemu nyingi nchini Tanzania na z...
-
Kituo: Selian Agricultural Research Institute - Arusha Mbegu: Selian H215 Sifa za mbegu Aina hii ni mahindi chotara. Inasta...
-
KILIMO CHA MIGOMBA (NDIZI) Utangulizi Niukweli usiopingika kuwa kilimo cha migomba(ndizi) hapa Tanzania kimekuwepo kwa miaka mingi sa...